46 Baada ya hayo Rebeka akawa akimwambia Isaka: “Ninachukia maisha yangu kwa sababu ya mabinti wa Hethi.+ Yakobo akioa mke kutoka kwa mabinti wa Hethi, kama mabinti hawa wa nchi hii, maisha yangu yana faida gani?”+
13 Kanaani akamzaa Sidoni,+ mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,+14 na pia Wayebusi,+ Waamori,+ Wagirgashi,+15 Wahivi,+ Waarkia, Wasini, 16 Waarvadi,+ Wasemari, na Wahamathi.