Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 shamba ambalo Abrahamu alinunua kutoka kwa wana wa Hethi. Abrahamu alizikwa huko pamoja na Sara mke wake.+

  • Mwanzo 27:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Baada ya hayo Rebeka akawa akimwambia Isaka: “Ninachukia maisha yangu kwa sababu ya mabinti wa Hethi.+ Yakobo akioa mke kutoka kwa mabinti wa Hethi, kama mabinti hawa wa nchi hii, maisha yangu yana faida gani?”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 1:13-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kanaani akamzaa Sidoni,+ mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,+ 14 na pia Wayebusi,+ Waamori,+ Wagirgashi,+ 15 Wahivi,+ Waarkia, Wasini, 16 Waarvadi,+ Wasemari, na Wahamathi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki