Kutoka 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda, ondoka hapa, wewe na watu uliowaongoza kutoka nchi ya Misri,+ mpaka kwenye nchi ambayo nilimwapia Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema, ‘Nitaupa uzao wako.’+
33 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda, ondoka hapa, wewe na watu uliowaongoza kutoka nchi ya Misri,+ mpaka kwenye nchi ambayo nilimwapia Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema, ‘Nitaupa uzao wako.’+