Kutoka 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Musa alikuwa na umri wa miaka 80 naye Haruni alikuwa na umri wa miaka 83 walipozungumza na Farao.+ Matendo 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Baada ya miaka 40, malaika akamtokea kwenye nyika ya Mlima Sinai katika mwali wa moto wa kichaka cha miiba kilichokuwa kikiwaka.+
30 “Baada ya miaka 40, malaika akamtokea kwenye nyika ya Mlima Sinai katika mwali wa moto wa kichaka cha miiba kilichokuwa kikiwaka.+