5 Baadaye mfalme wa Misri akajulishwa kwamba Waisraeli wamekimbia. Mara moja, Farao na watumishi wake wakabadili nia kuwahusu Waisraeli,+ wakasema: “Kwa nini tulifanya hivyo na kuwaruhusu Waisraeli waondoke, wasiwe watumwa wetu?”
9 Wamisri wakawafuatia,+ na farasi wote wa magari ya vita ya Farao na askari wake wapanda farasi na jeshi lake lilikuwa likiwakaribia Waisraeli walipokuwa wamepiga kambi kando ya bahari, karibu na Pihahirothi, mbele ya Baal-sefoni.