5 Baadaye mfalme wa Misri akaambiwa kwamba watu walikuwa wamekimbia na kwenda zao. Mara moja moyo wa Farao na watu wake vilevile ukabadilika kuhusiana na watu,+ kwa hiyo wakasema: “Tumefanya nini, kwa kuwaruhusu Waisraeli waende zao, waache kuwa watumwa+ wetu?”