Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehova akamtuma mwanamume mmoja, nabii,+ kwa wana wa Israeli, akawaambia: “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mimi ndiye niliyewaleta ninyi mpande kutoka Misri,+ nikawatoa katika nyumba ya watumwa.+

  • 1 Samweli 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na mtu wa Mungu+ akamjia Eli na kumwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Je, kweli sikujifunua kwa nyumba ya babu yako walipokuwa Misri wakiwa watumwa kwa nyumba ya Farao?+

  • 1 Samweli 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Pia, kwa nini mfanye mioyo yenu kuwa migumu kama vile Misri na Farao walivyofanya mioyo yao kuwa migumu?+ Je, haikuwa ni mara tu Yeye alipowatendea vikali+ ndipo walipowaachilia waende zao, nao wakaenda zao?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki