8 Yehova akamtuma mwanamume mmoja, nabii,+ kwa wana wa Israeli, akawaambia: “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mimi ndiye niliyewaleta ninyi mpande kutoka Misri,+ nikawatoa katika nyumba ya watumwa.+
27 Na mtu wa Mungu+ akamjia Eli na kumwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Je, kweli sikujifunua kwa nyumba ya babu yako walipokuwa Misri wakiwa watumwa kwa nyumba ya Farao?+
6 Pia, kwa nini mfanye mioyo yenu kuwa migumu kama vile Misri na Farao walivyofanya mioyo yao kuwa migumu?+ Je, haikuwa ni mara tu Yeye alipowatendea vikali+ ndipo walipowaachilia waende zao, nao wakaenda zao?+