Waamuzi 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo malaika+ wa Yehova akapanda kutoka Gilgali+ akaenda Bokimu+ na kusema: “Mimi niliwatoa ninyi Misri na kuwaleta katika nchi ambayo niliwaapia mababu zenu.+ Zaidi ya hayo, nikasema, ‘Sitavunja kamwe agano langu pamoja nanyi.+ Zaburi 78:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Baadaye akawafanya watu wake waondoke kama kondoo,+Na kuwaongoza kama kundi nyikani.+ Zaburi 136:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Yule anayetoa Israeli kutoka katikati yao:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
2 Ndipo malaika+ wa Yehova akapanda kutoka Gilgali+ akaenda Bokimu+ na kusema: “Mimi niliwatoa ninyi Misri na kuwaleta katika nchi ambayo niliwaapia mababu zenu.+ Zaidi ya hayo, nikasema, ‘Sitavunja kamwe agano langu pamoja nanyi.+
11 Na Yule anayetoa Israeli kutoka katikati yao:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+