Kutoka 12:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na Wamisri wakaanza kuwahimiza watu ili wawafukuze haraka+ kutoka katika nchi hiyo, “kwa sababu,” walisema, “sisi sote ni kana kwamba tumekufa!”+ Zaburi 105:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Akaiacha mioyo yao ibadilike ili kuwachukia watu wake,+Ili wajiendeshe kwa ujanja juu ya watumishi wake.+
33 Na Wamisri wakaanza kuwahimiza watu ili wawafukuze haraka+ kutoka katika nchi hiyo, “kwa sababu,” walisema, “sisi sote ni kana kwamba tumekufa!”+
25 Akaiacha mioyo yao ibadilike ili kuwachukia watu wake,+Ili wajiendeshe kwa ujanja juu ya watumishi wake.+