Kutoka 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baadaye mfalme wa Misri akajulishwa kwamba Waisraeli wamekimbia. Mara moja, Farao na watumishi wake wakabadili nia kuwahusu Waisraeli,+ wakasema: “Kwa nini tulifanya hivyo na kuwaruhusu Waisraeli waondoke, wasiwe watumwa wetu?”
5 Baadaye mfalme wa Misri akajulishwa kwamba Waisraeli wamekimbia. Mara moja, Farao na watumishi wake wakabadili nia kuwahusu Waisraeli,+ wakasema: “Kwa nini tulifanya hivyo na kuwaruhusu Waisraeli waondoke, wasiwe watumwa wetu?”