Mwanzo 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akasema: “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi unayoilalia, nitakupa wewe na uzao wako.*+ Mwanzo 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha Yakobo akasema: “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu na Mungu wa baba yangu Isaka, Ee Yehova, wewe unayeniambia, ‘Rudi kwenye nchi yako na kwa watu wako wa ukoo, nami nitakutendea mema,’+ Mathayo 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+ Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai.”+ Matendo 7:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 ‘Mimi ni Mungu wa mababu zako, Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo.’+ Musa akaanza kutetemeka na hakuthubutu kuchunguza zaidi.
13 Na tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akasema: “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi unayoilalia, nitakupa wewe na uzao wako.*+
9 Kisha Yakobo akasema: “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu na Mungu wa baba yangu Isaka, Ee Yehova, wewe unayeniambia, ‘Rudi kwenye nchi yako na kwa watu wako wa ukoo, nami nitakutendea mema,’+
32 ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+ Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai.”+
32 ‘Mimi ni Mungu wa mababu zako, Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo.’+ Musa akaanza kutetemeka na hakuthubutu kuchunguza zaidi.