37 Lakini hata Musa alifunua kwamba wafu watafufuliwa, katika masimulizi kuhusu kichaka cha miiba, anapomwita Yehova ‘Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.’+ 38 Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa maana kwake, wote wako hai.”+