Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 20:37, 38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Lakini hata Musa alifunua kwamba wafu watafufuliwa, katika masimulizi kuhusu kichaka cha miiba, anapomwita Yehova* ‘Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.’+ 38 Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa maana kwake,* wote wako hai.”+

  • Waroma 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 (Kama tu ilivyoandikwa: “Nimekuweka uwe baba ya mataifa mengi.”)+ Hili lilikuwa machoni pa Mungu, ambaye Abrahamu alimwamini, anayewafanya wafu kuwa hai na kuyaita mambo yasiyokuwako kana kwamba yako.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki