Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha malaika wa Yehova akamtokea katika mwali wa moto katikati ya kichaka cha miiba.+ Musa alipoendelea kutazama, aliona kwamba kichaka hicho cha miiba kilikuwa kikiwaka moto, lakini hakikuteketea.

  • Kutoka 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akaendelea kusema: “Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu,+ Mungu wa Isaka,+ na Mungu wa Yakobo.”+ Ndipo Musa akauficha uso wake, kwa sababu aliogopa kumtazama Mungu wa kweli.

  • Mathayo 22:31-33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kuhusu ufufuo wa wafu, je, hamkusoma mliloambiwa na Mungu, aliposema: 32 ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+ Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai.”+ 33 Umati uliposikia hilo, ukashangazwa na mafundisho yake.+

  • Marko 12:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Lakini kuhusu kufufuliwa kwa wafu, je, hamkusoma katika kitabu cha Musa, simulizi kuhusu kile kichaka cha miiba kwamba Mungu alimwambia: ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+ 27 Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai. Mmekosea sana.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki