Mathayo 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati ukashangazwa na njia yake ya kufundisha,+ Marko 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wakuu wa makuhani na waandishi waliposikia hayo, wakaanza kutafuta njia ya kumuua;+ kwa maana walimwogopa, kwa sababu umati wote ulishangazwa na mafundisho yake.+
18 Wakuu wa makuhani na waandishi waliposikia hayo, wakaanza kutafuta njia ya kumuua;+ kwa maana walimwogopa, kwa sababu umati wote ulishangazwa na mafundisho yake.+