Marko 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao wakashangazwa na njia yake ya kufundisha, kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka, si kama waandishi.+ Luka 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 nao wakashangazwa na njia yake ya kufundisha,+ kwa sababu alikuwa akizungumza kwa mamlaka.
22 Nao wakashangazwa na njia yake ya kufundisha, kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka, si kama waandishi.+