Mathayo 7:28, 29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati ukashangazwa na njia yake ya kufundisha,+ 29 kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka,+ na si kama waandishi wao.
28 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati ukashangazwa na njia yake ya kufundisha,+ 29 kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka,+ na si kama waandishi wao.