Mathayo 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati ukashangazwa na njia yake ya kufundisha,+ Yohana 7:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Maofisa wakajibu: “Hakuna mtu mwingine yeyote ambaye amewahi kuzungumza hivyo.”+