18 Basi Musa akarudi kwa Yethro baba mkwe wake+ na kumwambia: “Ninataka kwenda, tafadhali, nirudi kwa ndugu zangu walio Misri nione kama wangali hai.” Yethro akamwambia Musa: “Nenda kwa amani.”
29 Kisha Musa akamwambia Hobabu mwana wa Reueli,*+ Mmidiani, baba mkwe wake: “Tunaenda mahali ambapo Yehova alisema, ‘Nitawapa ninyi mahali hapo.’+ Basi twende pamoja,+ nasi tutakutendea mema, kwa sababu Yehova ameahidi kuwapa Waisraeli mambo mema.”+