Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wazao wa Mkeni,+ baba mkwe wa Musa,+ walitoka katika lile jiji la mitende+ pamoja na watu wa Yuda na kwenda katika nyika ya Yuda, upande wa kusini wa Aradi.+ Wakakaa huko pamoja na wenyeji.+

  • Waamuzi 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini Heberi Mkeni alikuwa amejitenga na Wakeni,+ waliokuwa wazao wa Hobabu, baba mkwe wa Musa,+ naye alipiga hema lake karibu na mti mkubwa uliokuwa Saananimu, kule Kedeshi.

  • 1 Samweli 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Sauli akawaambia hivi Wakeni:+ “Nendeni, ondokeni kati ya Waamaleki ili nisiwafagilie mbali pamoja nao.+ Kwa maana mliwatendea watu wote wa Israeli+ kwa upendo mshikamanifu walipotoka Misri.” Basi Wakeni wakaondoka kati ya Waamaleki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki