Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 10:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kisha Musa akamwambia Hobabu mwana wa Reueli,*+ Mmidiani, baba mkwe wake: “Tunaenda mahali ambapo Yehova alisema, ‘Nitawapa ninyi mahali hapo.’+ Basi twende pamoja,+ nasi tutakutendea mema, kwa sababu Yehova ameahidi kuwapa Waisraeli mambo mema.”+

  • Hesabu 10:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Ukienda pamoja nasi,+ jambo lolote jema ambalo Yehova atatutendea, bila shaka tutakutendea wewe pia.”

  • Hesabu 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Alipowaona Wakeni,+ aliendelea kusema maneno yake ya kishairi:

      “Makao yenu yako salama, yamejengwa juu ya mwamba.

  • Waamuzi 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wazao wa Mkeni,+ baba mkwe wa Musa,+ walitoka katika lile jiji la mitende+ pamoja na watu wa Yuda na kwenda katika nyika ya Yuda, upande wa kusini wa Aradi.+ Wakakaa huko pamoja na wenyeji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki