29 Kisha Musa akamwambia Hobabu mwana wa Reueli,*+ Mmidiani, baba mkwe wake: “Tunaenda mahali ambapo Yehova alisema, ‘Nitawapa ninyi mahali hapo.’+ Basi twende pamoja,+ nasi tutakutendea mema, kwa sababu Yehova ameahidi kuwapa Waisraeli mambo mema.”+
16 Na wazao wa Mkeni,+ baba mkwe wa Musa,+ walitoka katika lile jiji la mitende+ pamoja na watu wa Yuda na kwenda katika nyika ya Yuda, upande wa kusini wa Aradi.+ Wakakaa huko pamoja na wenyeji.+