15 Basi nikawachukua viongozi wa makabila yenu, wanaume wenye hekima na uzoefu, na kuwaweka kuwa viongozi wenu, wakuu wa maelfu, wakuu wa mamia, wakuu wa hamsini, wakuu wa makumi, na maofisa wa makabila yenu.+
23 Isitoshe, wakawaweka rasmi wazee kwa ajili yao katika kila kutaniko,+ wakatoa sala na kufunga,+ nao wakawakabidhi kwa Yehova* ambaye walikuwa wamemwamini.