Kumbukumbu la Torati 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Mnapaswa kuwaweka waamuzi+ na maofisa kwa ajili ya kila kabila katika majiji yenu yote ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, nao lazima wawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu. Kumbukumbu la Torati 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 watu hao wawili wanaozozana watasimama mbele za Yehova, mbele ya makuhani na waamuzi watakaokuwa wakihudumu wakati huo.+
18 “Mnapaswa kuwaweka waamuzi+ na maofisa kwa ajili ya kila kabila katika majiji yenu yote ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, nao lazima wawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.
17 watu hao wawili wanaozozana watasimama mbele za Yehova, mbele ya makuhani na waamuzi watakaokuwa wakihudumu wakati huo.+