Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Musa akachagua wanaume wanaostahili miongoni mwa Waisraeli wote na kuwaweka kuwa viongozi wa watu, kuwa wakuu wa maelfu, wakuu wa mamia, wakuu wa hamsini, na wakuu wa makumi. 26 Kwa hiyo waliamua kesi walizoletewa na watu. Kesi ngumu walimletea Musa,+ lakini waliamua kila kesi ndogo.

  • Kumbukumbu la Torati 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wakati huo niliwaagiza hivi waamuzi wenu: ‘Mnaposikiliza kesi kati ya ndugu zenu, mnapaswa kuhukumu kwa uadilifu+ kati ya mtu na ndugu yake au mkaaji mgeni.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yehoshafati akaendelea kuishi Yerusalemu, naye akatoka tena na kwenda kukutana na watu kuanzia Beer-sheba mpaka kwenye eneo lenye milima la Efraimu,+ ili awarudishe kwa Yehova Mungu wa mababu zao.+ 5 Pia, aliwaweka waamuzi katika nchi yote, katika majiji yote ya Yuda yenye ngome, jiji baada ya jiji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki