Kumbukumbu la Torati 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hutekeleza haki kwa ajili ya yatima na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni,+ humpa chakula na mavazi. Zaburi 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtu huyo wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia. Alimwokoa kutoka katika taabu zake zote.+