Mambo ya Walawi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Pia, msikusanye masalio ya mashamba yenu ya mizabibu wala msiokote zabibu zilizoanguka chini. Waachieni maskini*+ na wageni. Mimi ni Yehova Mungu wenu. Kumbukumbu la Torati 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Usimlaghai kibarua mwenye uhitaji na maskini, awe ni mmoja wa ndugu zako au ni mkaaji mgeni katika nchi yenu, ndani ya majiji* yenu.+ Zaburi 146:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;Humtegemeza yatima na mjane,+Lakini huivuruga mipango ya waovu.*+
10 Pia, msikusanye masalio ya mashamba yenu ya mizabibu wala msiokote zabibu zilizoanguka chini. Waachieni maskini*+ na wageni. Mimi ni Yehova Mungu wenu.
14 “Usimlaghai kibarua mwenye uhitaji na maskini, awe ni mmoja wa ndugu zako au ni mkaaji mgeni katika nchi yenu, ndani ya majiji* yenu.+