Zaburi 146:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+
9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+