Mambo ya Walawi 25:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “‘Ikiwa ndugu yako anayeishi karibu nawe amelazimika kujiuza kwako+ kwa sababu amekuwa maskini, usimlazimishe akutumikie kama mtumwa.+ Mambo ya Walawi 25:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Usimtendee kwa ukatili,+ ni lazima umwogope Mungu wako.+ Methali 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Anayempunja mtu wa hali ya chini anamtukana Muumba wake,+Lakini yeyote anayewahurumia maskini humtukuza Mungu.+
39 “‘Ikiwa ndugu yako anayeishi karibu nawe amelazimika kujiuza kwako+ kwa sababu amekuwa maskini, usimlazimishe akutumikie kama mtumwa.+
31 Anayempunja mtu wa hali ya chini anamtukana Muumba wake,+Lakini yeyote anayewahurumia maskini humtukuza Mungu.+