Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 24:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Usimlaghai kibarua mwenye uhitaji na maskini, awe ni mmoja wa ndugu zako au ni mkaaji mgeni katika nchi yenu, ndani ya majiji* yenu.+ 15 Unapaswa kumpa mshahara wake siku hiyohiyo,+ kabla ya jua kutua, kwa sababu ana uhitaji na uhai wake unategemea* mshahara wake. Usipofanya hivyo, atamlilia Yehova, nawe utakuwa na hatia ya dhambi.+

  • Zaburi 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Kwa sababu wale wanaoteswa wanakandamizwa,

      Kwa sababu ya kilio cha uchungu cha maskini,+

      Nitainuka na kutenda,” asema Yehova.

      “Nitawaokoa kutoka kwa wale wanaowatendea kwa dharau.”*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki