Mambo ya Walawi 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hakuna yeyote kati yenu anayepaswa kumpunja mwenzake,+ ni lazima mmwogope Mungu wenu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.+ Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+
17 Hakuna yeyote kati yenu anayepaswa kumpunja mwenzake,+ ni lazima mmwogope Mungu wenu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.+
13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+