Mambo ya Walawi 25:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Usimtendee kwa ukatili,+ ni lazima umwogope Mungu wako.+ Methali 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumwogopa* Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Ni wapumbavu tu wanaodharau hekima na nidhamu.+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+ Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+ Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+