Mambo ya Walawi 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Usimlaghai mwenzako+ wala kumnyang’anya vitu vyake.+ Usikae na mshahara wa kibarua usiku kucha mpaka asubuhi.+ Methali 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usimwibie mtu maskini kwa kuwa ni maskini,+Wala usimkandamize mtu wa hali ya chini katika lango la jiji,+
13 Usimlaghai mwenzako+ wala kumnyang’anya vitu vyake.+ Usikae na mshahara wa kibarua usiku kucha mpaka asubuhi.+
22 Usimwibie mtu maskini kwa kuwa ni maskini,+Wala usimkandamize mtu wa hali ya chini katika lango la jiji,+