Methali 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Anayempunja maskini ili aongeze mali yake+Na yule anayewapa zawadi matajiriMwishowe watakuwa maskini. Marko 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Unazijua amri hizi: ‘Usiue,+ usifanye uzinzi,+ usiibe,+ usitoe ushahidi wa uwongo,+ usipunje,+ mheshimu baba yako na mama yako.’”+
16 Anayempunja maskini ili aongeze mali yake+Na yule anayewapa zawadi matajiriMwishowe watakuwa maskini.
19 Unazijua amri hizi: ‘Usiue,+ usifanye uzinzi,+ usiibe,+ usitoe ushahidi wa uwongo,+ usipunje,+ mheshimu baba yako na mama yako.’”+