Kutoka 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili uishi muda mrefu katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+ Kumbukumbu la Torati 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama mimi Yehova Mungu wako nilivyokuamuru, ili uishi muda mrefu na kufanikiwa* katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+ Waefeso 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mheshimu baba yako na mama yako,”+ hiyo ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi:
12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili uishi muda mrefu katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+
16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama mimi Yehova Mungu wako nilivyokuamuru, ili uishi muda mrefu na kufanikiwa* katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+