Kutoka 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Usiue.+ Kumbukumbu la Torati 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Usiue.+ Mathayo 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Mlisikia kwamba zamani watu waliambiwa: ‘Usiue,+ lakini yeyote anayeua atawajibika mahakamani.’+ 1 Yohana 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kila mtu anayemchukia ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji aliye na uzima wa milele ndani yake.+
15 Kila mtu anayemchukia ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji aliye na uzima wa milele ndani yake.+