Kumbukumbu la Torati 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hutekeleza haki kwa ajili ya yatima na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni,+ humpa chakula na mavazi. Zaburi 68:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baba wa mayatima na mlinzi* wa wajane+Ni Mungu katika makao yake matakatifu.+