Methali 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ikiwa adui yako* ana njaa, mpe mkate ale;Ikiwa ana kiu, mpe maji anywe,+ 1 Wathesalonike 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+
21 Ikiwa adui yako* ana njaa, mpe mkate ale;Ikiwa ana kiu, mpe maji anywe,+ 1 Wathesalonike 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+
15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+