Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ukimwona punda wa mtu anayekuchukia amelemewa na mzigo na kuanguka, usimpuuze na kwenda zako. Unapaswa kumsaidia kufungua mnyama huyo.+

  • 2 Wafalme 6:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mfalme wa Israeli alipowaona, alimuuliza Elisha, “Je, niwaue, baba yangu, niwaue?” 22 Lakini Elisha akajibu: “Usiwaue. Je, unawaua wale ambao umewachukua mateka kwa upanga wako na kwa upinde wako? Wape mikate na maji ili wale na kunywa+ na kurudi kwa bwana wao.”

  • Methali 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Adui yako akianguka, usishangilie,

      Na akijikwaa, usiruhusu moyo wako uwe na shangwe;+

  • Mathayo 5:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Hata hivyo, ninawaambia: Endeleeni kuwapenda adui zenu+ na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki