21 Mfalme wa Israeli alipowaona, alimuuliza Elisha, “Je, niwaue, baba yangu, niwaue?” 22 Lakini Elisha akajibu: “Usiwaue. Je, unawaua wale ambao umewachukua mateka kwa upanga wako na kwa upinde wako? Wape mikate na maji ili wale na kunywa+ na kurudi kwa bwana wao.”