Ayubu 31:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Je, nimewahi kushangilia kuangamizwa kwa adui yangu+Au kumcheka kwa sababu amepatwa na uovu? Methali 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yeyote anayemdhihaki maskini anamtukana Muumba wake,+Na yeyote anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa kuadhibiwa.+ Methali 25:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ikiwa adui yako* ana njaa, mpe mkate ale;Ikiwa ana kiu, mpe maji anywe,+22 Kwa maana utakuwa unakusanya makaa ya mawe yanayowaka juu ya kichwa chake,*+Na Yehova atakuthawabisha.
5 Yeyote anayemdhihaki maskini anamtukana Muumba wake,+Na yeyote anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa kuadhibiwa.+
21 Ikiwa adui yako* ana njaa, mpe mkate ale;Ikiwa ana kiu, mpe maji anywe,+22 Kwa maana utakuwa unakusanya makaa ya mawe yanayowaka juu ya kichwa chake,*+Na Yehova atakuthawabisha.