Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 31:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Je, nimewahi kushangilia kuangamizwa kwa adui yangu+

      Au kumcheka kwa sababu amepatwa na uovu?

  • Methali 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yeyote anayemdhihaki maskini anamtukana Muumba wake,+

      Na yeyote anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa kuadhibiwa.+

  • Methali 25:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ikiwa adui yako* ana njaa, mpe mkate ale;

      Ikiwa ana kiu, mpe maji anywe,+

      22 Kwa maana utakuwa unakusanya makaa ya mawe yanayowaka juu ya kichwa chake,*+

      Na Yehova atakuthawabisha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki