Methali 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yeyote anayemdhihaki maskini anamtukana Muumba wake,+Na yeyote anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa kuadhibiwa.+ Methali 24:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Adui yako akianguka, usishangilie,Na akijikwaa, usiruhusu moyo wako uwe na shangwe;+18 La sivyo, Yehova ataona jambo hilo naye hatafurahi,Naye ataiondoa hasira yake kumwelekea.*+
5 Yeyote anayemdhihaki maskini anamtukana Muumba wake,+Na yeyote anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa kuadhibiwa.+
17 Adui yako akianguka, usishangilie,Na akijikwaa, usiruhusu moyo wako uwe na shangwe;+18 La sivyo, Yehova ataona jambo hilo naye hatafurahi,Naye ataiondoa hasira yake kumwelekea.*+