12 “Sasa, enyi Waisraeli, Yehova Mungu wenu anataka mfanye nini?+ Hili tu ndilo analotaka: mmwogope Yehova Mungu wenu,+ mtembee katika njia zake zote,+ mumpende, na kumtumikia Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote,+
5 Lakini muwe waangalifu sana kutekeleza amri na Sheria ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwapa,+ kwa kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kutembea katika njia zake zote,+ kushika amri zake,+ kushikamana naye,+ na kumtumikia+ kwa moyo wenu wote na nafsi* yenu yote.”+
10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa: ‘Yehova* Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’”+