Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mnapaswa kumwogopa+ Yehova Mungu wenu, mnapaswa kumtumikia yeye,+ nanyi mnapaswa kuapa kwa jina lake.+

  • Kumbukumbu la Torati 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Sasa, enyi Waisraeli, Yehova Mungu wenu anataka mfanye nini?+ Hili tu ndilo analotaka: mmwogope Yehova Mungu wenu,+ mtembee katika njia zake zote,+ mumpende, na kumtumikia Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote,+

  • Yoshua 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini muwe waangalifu sana kutekeleza amri na Sheria ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwapa,+ kwa kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kutembea katika njia zake zote,+ kushika amri zake,+ kushikamana naye,+ na kumtumikia+ kwa moyo wenu wote na nafsi* yenu yote.”+

  • Mathayo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa: ‘Yehova* Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki