27 Wewe mwenyewe nenda karibu, usikie yote ambayo Yehova Mungu wetu atasema, nawe ndiwe utakayetuambia mambo yote ambayo Yehova Mungu wetu anakuambia, nasi tutasikiliza na kutenda mambo hayo.’+
22 Basi Yoshua akawaambia, “Ninyi ni mashahidi dhidi yenu wenyewe kwamba mmechagua kwa hiari yenu kumtumikia Yehova.”+ Nao wakajibu, “Sisi ni mashahidi.”