Kutoka 34:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Unapaswa kuandika maneno haya,+ kwa sababu kulingana na maneno haya, ninafanya agano pamoja nawe na pamoja na Israeli.”+ Kumbukumbu la Torati 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Musa akaandika Sheria hii+ na kuwapa makuhani, Walawi, ambao wanabeba sanduku la agano la Yehova, na wazee wote wa Israeli.
27 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Unapaswa kuandika maneno haya,+ kwa sababu kulingana na maneno haya, ninafanya agano pamoja nawe na pamoja na Israeli.”+
9 Ndipo Musa akaandika Sheria hii+ na kuwapa makuhani, Walawi, ambao wanabeba sanduku la agano la Yehova, na wazee wote wa Israeli.