Kutoka 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Musa akaandika maneno yote ya Yehova.+ Kisha akaamka asubuhi na mapema na kujenga madhabahu kwenye sehemu ya chini ya mlima huo na nguzo 12 kulingana na idadi ya makabila 12 ya Israeli. Kumbukumbu la Torati 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Musa akaandika Sheria hii+ na kuwapa makuhani, Walawi, ambao wanabeba sanduku la agano la Yehova, na wazee wote wa Israeli. Kumbukumbu la Torati 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Waisraeli wote wanapokuja mbele za Yehova+ Mungu wao mahali anapochagua, unapaswa kuisoma Sheria hii mbele ya Waisraeli wote ili waisikie.+
4 Basi Musa akaandika maneno yote ya Yehova.+ Kisha akaamka asubuhi na mapema na kujenga madhabahu kwenye sehemu ya chini ya mlima huo na nguzo 12 kulingana na idadi ya makabila 12 ya Israeli.
9 Ndipo Musa akaandika Sheria hii+ na kuwapa makuhani, Walawi, ambao wanabeba sanduku la agano la Yehova, na wazee wote wa Israeli.
11 Waisraeli wote wanapokuja mbele za Yehova+ Mungu wao mahali anapochagua, unapaswa kuisoma Sheria hii mbele ya Waisraeli wote ili waisikie.+