28 Musa akaendelea kukaa huko pamoja na Yehova kwa siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala kunywa maji.+ Naye Mungu aliandika kwenye yale mabamba, maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+
9 Nilipopanda mlimani ili kupokea yale mabamba ya mawe,+ mabamba ya agano ambalo Yehova alifanya pamoja nanyi,+ nilikaa mlimani siku 40 mchana na usiku,+ sikula chakula wala kunywa maji.