Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 37:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Baada ya hayo akatengeneza sahani, vikombe, magudulia, na mabakuli ya meza hiyo kwa dhahabu safi ili yatumiwe kumimina matoleo ya vinywaji.+

  • Hesabu 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Pia watafunika meza ya mikate ya wonyesho+ kwa kitambaa cha bluu, na juu yake wataweka sahani, vikombe, mabakuli, na magudulia ya toleo la kinywaji;+ mikate ya wonyesho ambayo huwa juu ya meza hiyo daima+ inapaswa kubaki juu yake.

  • 1 Wafalme 7:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Sulemani alivitengeneza vitu vyote vya nyumba ya Yehova: madhabahu+ ya dhahabu; meza ya dhahabu+ ya kuwekea mikate ya wonyesho;

  • 1 Wafalme 7:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 mabeseni, mikasi ya kukatia tambi za taa,+ mabakuli, vikombe,+ na vyetezo,+ vyote vya dhahabu safi; na bawaba za milango ya nyumba ya ndani,+ yaani, Patakatifu Zaidi, na za milango ya nyumba ya hekalu,+ vyote vya dhahabu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki