7 “Pia watafunika meza ya mikate ya wonyesho+ kwa kitambaa cha bluu, na juu yake wataweka sahani, vikombe, mabakuli, na magudulia ya toleo la kinywaji;+ mikate ya wonyesho ambayo huwa juu ya meza hiyo daima+ inapaswa kubaki juu yake.
50 mabeseni, mikasi ya kukatia tambi za taa,+ mabakuli, vikombe,+ na vyetezo,+ vyote vya dhahabu safi; na bawaba za milango ya nyumba ya ndani,+ yaani, Patakatifu Zaidi, na za milango ya nyumba ya hekalu,+ vyote vya dhahabu.