5 “Utachukua unga laini na kuoka mikate 12 ya mviringo. Utatumia sehemu mbili za kumi za kipimo cha efa cha unga laini kuoka kila mkate. 6 Utaipanga mikate hiyo kwenye safu mbili juu ya meza ya dhahabu safi mbele za Yehova,+ kila safu itakuwa na mikate sita.+