Kutoka 40:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Akaweka madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa+ kwenye mlango wa hema la ibada, yaani, hema la mkutano, ili atoe juu yake dhabihu za kuteketezwa+ na matoleo ya nafaka, kama Yehova alivyomwamuru Musa. 2 Mambo ya Nyakati 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha akatengeneza madhabahu ya shaba+ yenye urefu wa mikono 20, upana wa mikono 20, na kimo cha mikono 10. Waebrania 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sisi tuna madhabahu ambayo wale wanaofanya utumishi mtakatifu katika hema hawana mamlaka ya kula kilicho juu yake.+
29 Akaweka madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa+ kwenye mlango wa hema la ibada, yaani, hema la mkutano, ili atoe juu yake dhabihu za kuteketezwa+ na matoleo ya nafaka, kama Yehova alivyomwamuru Musa.
4 Kisha akatengeneza madhabahu ya shaba+ yenye urefu wa mikono 20, upana wa mikono 20, na kimo cha mikono 10.
10 Sisi tuna madhabahu ambayo wale wanaofanya utumishi mtakatifu katika hema hawana mamlaka ya kula kilicho juu yake.+