1 Wakorintho 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula vitu vya hekalu, na kwamba wale wanaohudumu kwa kawaida kwenye madhabahu hupata fungu lao kutoka kwenye madhabahu?+ 1 Wakorintho 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tazameni Israeli kwa njia ya kimwili: Je, wale wanaokula dhabihu si washiriki pamoja na madhabahu?+
13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula vitu vya hekalu, na kwamba wale wanaohudumu kwa kawaida kwenye madhabahu hupata fungu lao kutoka kwenye madhabahu?+
18 Tazameni Israeli kwa njia ya kimwili: Je, wale wanaokula dhabihu si washiriki pamoja na madhabahu?+