Kutoka 39:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Wakamletea Musa hema la ibada+ pamoja na vifaa vyake vyote: vibanio vyake,+ viunzi vyake,+ fito zake,+ nguzo zake na vikalio vyake;+ Kutoka 39:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 mapazia ya ua yanayoning’inia, nguzo zake na vikalio vyake,+ pazia la mlango+ wa ua, kamba na vigingi vya hema+ na vifaa vyote vya utumishi wa hema la ibada, yaani, hema la mkutano;
33 Wakamletea Musa hema la ibada+ pamoja na vifaa vyake vyote: vibanio vyake,+ viunzi vyake,+ fito zake,+ nguzo zake na vikalio vyake;+
40 mapazia ya ua yanayoning’inia, nguzo zake na vikalio vyake,+ pazia la mlango+ wa ua, kamba na vigingi vya hema+ na vifaa vyote vya utumishi wa hema la ibada, yaani, hema la mkutano;