Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 39:15-18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha wakakitengenezea kifuko cha kifuani minyororo iliyosokotwa, kama kamba za dhahabu safi.+ 16 Halafu wakatengeneza vifuko viwili vya dhahabu na pete mbili za dhahabu na kuzitia kwenye pembe mbili za juu za kifuko hicho. 17 Baada ya hayo wakatia zile kamba mbili za dhahabu katika pete mbili zilizo kwenye pembe hizo. 18 Kisha wakatia ncha mbili za hizo kamba mbili katika vile vifuko viwili vya mabegani na kuzifunga ncha hizo kwenye vipande viwili vya efodi, sehemu ya mbele.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki