Kutoka 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mshipi uliofumwa+ unaoshikilia kwa nguvu efodi unapaswa kutengenezwa kwa vitu hivyohivyo, yaani, dhahabu, nyuzi za bluu, sufu ya rangi ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, na kitani bora kilichosokotwa. Mambo ya Walawi 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha akamvisha kanzu,+ akamfunga ukumbuu,+ akamvisha lile joho lisilo na mikono,+ akamvisha efodi+ na kumfunga vizuri kabisa mshipi wa efodi uliofumwa.+
8 Mshipi uliofumwa+ unaoshikilia kwa nguvu efodi unapaswa kutengenezwa kwa vitu hivyohivyo, yaani, dhahabu, nyuzi za bluu, sufu ya rangi ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, na kitani bora kilichosokotwa.
7 Kisha akamvisha kanzu,+ akamfunga ukumbuu,+ akamvisha lile joho lisilo na mikono,+ akamvisha efodi+ na kumfunga vizuri kabisa mshipi wa efodi uliofumwa.+